Mchezo huo unatupia hicho kitufe sijui ?wale wanaoujua uzuri wanaweza kutusaidia zaidi
Ndio kinazipiga mfano wa chupa hapo sasa mshindi anapatikanaje ndio shida sie wa midako yetu mtaani
Huyu nae yuko tayari kushughulikia wale wasumbufu Hapo...
Loading...
Home » Archives for April 2012
Taswira za Ubungo

Hata wapita njia hawa walijiachia na njianai humo wakidunda kwa raha zao
Baada ya lile zoezi la kuwaondoa machinga maeneo ya Ubungo kusimamiwa na wenye maeneo hayo yaani TANESCO zoezi hilo limekuwa na tija kubwa sana kama unavyooona...
on
Nyumba ya maajabu Tabata Ugombolwa

Kulikuwa na vibanda vya biashara maeneo hayo na vimeondolewa vyote na kubaki kimoja hicho kushoto kutokana na zahama la kupigwa mawe na mtu wasie mjua kiasi kilichopelekea kutokea kutokuelewana na majirani wakijua wao ndio wanao rusha mawe hayo
Kwa...
on
FA wamzengea Hodgson

Chama cha Kandanda nchini Uingereza kimesema kimeanza mazungumzo na Roy Hodgson ili akinoe kikosi cha Timu ya Taif nchini humo baada ya kuondoka aliyekuwa kocha Fabio Capello baada ya mzozo wa ubaguzi wa rangi wa uliomhusisha aliekuwa Nahodha wa timu...
on Sunday, April 29, 2012
Tundu Lissu ashinda kesi

sehemu ya hukumu ilikuwa hivi....................................................
HOJA YA TISA, Kama Mgombea wa walalamikaji (CCM) alikataa kusaini matokeo. Hoja hii haipaswi kunipotezea mud asana. Njau hakuhudhuria, aliwakilishwa na mlalamikaji wa...
on Friday, April 27, 2012
Guardiola

Barcelona paid an emotional tribute to departing Pep Guardiola after the Spaniard confirmed he will leave the club at the end of the season. Guardiola ends a trophy-laden four-year era with the Catalan giants.
PICTURE:CRedit to Daily M...
on
Neno La Leo:Bunge Ni Eneo La Umaskini !

Ndugu zangu,
Hapo juu ni nyumba ya Waziri Maige na chini ni nyumba ya kabwela Mtanzania. Na Spika wa Bunge, Anne Makinda alipata kutamka, kuwa Bunge ni eneo la umasikini. Astaghafilulahi! Haki ya Mungu, ukistaajabia ya Mussa utayaona ya Firauni.
Na...
on Thursday, April 26, 2012
Adha ya Usafiri Jijini

Usafiri katika Jiji la Dar es Salaam umekuwa shida kiasi ya kwamba watu wamekuwa wanabanana ndani ya daldal ili waweze wahi makazini kwao.Wakati mwingine inakubidi uwahi sana kuamka asubuhi kwa wale wanao fanya kazi mbali na makazi yao na kwa jiji...
Filed Under:
Usafiri
on
Zitto kwenye ITV "Kumekucha" Aprili 25, 2012
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Kaskazini ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mahesabu ya Mashirika ya Umma amezungumza na ITV kuzungumzia masuala mbalimbali muhimu hasa masuala ya nishati na hoja ya kura ya kutokuwa na imani...
on Wednesday, April 25, 2012
SERIKALI IWAWAJIBISHE MAWAZIRI WANAOTUHUMIWA KWA UFISADI-TGNP
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
SERIKALI IWAWAJIBISHE MAWAZIRI WANAOTUHUMIWA KWA UFISADI
Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) unapenda kuwapongeza wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Hesabu za Mashirika ya Umma...
on
Chelsea yatangulia Fainali

Torres akishangilia goli sa kusawazisha lililoinyonga kabisa Barcelona jana katika Uwanja wa Nou Camp na kufanikiwa kufika fainali za Ligi ya Mabingwa wa Ulaya zitakazochezwa Munich,Ujerumani na kuwavua rasmi ubingwa mabingwa hao Barcelona.
Barcelona...
Filed Under:
Michezo
on Tuesday, April 24, 2012
Barcelona na Chelsea NANI Mbabe leo ?

Chelsea wakijifua tayari kwa mtanange hapo leo usiku katika mchezo nusu fainali ya pili katika Uwanja wa Nou Camp mjini Barcelona watakapoonyeshana kazi na Barcelona FC huku wakiwa na faida ya goli moja.
Wachezaji wa timu ya Barcelona wakijifua...
Filed Under:
Michezo
on
20th Anniversary of the Open University of Tanzania

THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA
Directorate of Communications and Marketing
20th Anniversary of the Open University of Tanzania
The Open University of Tanzania (OUT) is this year marking its 20th anniversary since it
was founded after the enactment...
on
Eva na Suzzy

Eva na Suzzy wakishoo love baada ya misa ya Jumapili KKKT huko Moshono, Arusha.
Picha kwa hisani ya mdau toka pande hizo za A-T...
Filed Under:
Kamera yetu mtaani
on
Hakimu ambembeleza Lulu mahakamani

Mtuhumiwa wa mauaji ambaye ni msanii wa filamu Elizabeth Michael maarufu kwa jina la Lulu akilia wakati alipofikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana.(Picha na Michael Jamson)
............................................................................................................................................
Filed Under:
Mahakamani
on
Unapoambiwa Bomoa Hapa !!

Akiwa ameshamaliza Jengo lake la biashara kama kitega uchumi chake anajikuta anaambiwa umejenga chini ya nyaya za TANESCO unatakiwa ubomoe.
Unaweza ongea lugha zote siku hiyo hiyo imemkuta mkazi mmoja wa Tabata njia ya kwenda Mtaa wa Ugombolwa...
Filed Under:
Kamera yetu mtaani
on Monday, April 23, 2012
Kamera yetu ufukweni.

Kamera yetu ya Kijiweni Rundugai ilitembelea moja ya fukwe jijini Dar es Salaam na kupata taswira mbalimbali.
Hapa ni baadhi ya bembea ambazo unaweza kuja pumzika kidogo baada ya shughuli za kulijenga Taifa
Wengine huamua kuja na mahema na kujipumzisha.
Michezo...
on Sunday, April 22, 2012
Tetesi :Diwani ajivua gamba Arusha ahamia CHADEMA

Kuna tetesi kuwa Diwani wa Kata ya Sombetini (CCM Arusha) ahamia chadema habari hizo zimetangazwa na East Africa radio hiyo ni baada ya aliyekuwa MWENYEKITI wa UVCCM, Mkoa wa Arusha,kwa miaka mitano, James Millya, kukihama chama hicho hiv karibuni.
TUTAWALETEA...
on Wednesday, April 18, 2012
Siha Na Maumbile: Nguvu za Kiume
Msiki
Msikie mtaalam huyu jinsi anavyoelezea tatizo sugu la nguvu za kiume na sababu zisababishazo tatizo hilo linalotesa wanaume wengi dunia...
on Monday, April 16, 2012
Muda Mfupi Baada ya Millya kujivua GAMBA...

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NEC Chama cha Mapinduzi (CCM)Bw.Nape Nnauye(Pichani) ametoa tamko muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa UVCCM, Mkoa wa Arusha James Millya kujiunga na CHADEMA na Kusema
''Nampongeza Millya kwa kuamua kukisaidia Chama Changu,...
on
Millya Ajivua ''GAMBA'' Arusha

Na Gladness Mushi wa Fullshangweblog-Arusha
MWENYEKITI wa UVCCM, Mkoa wa Arusha,kwa miaka mitano, James Millya,
ametangaza kujiuzuru nafasi zote kuanzia Taifa hadi Mkoa na kutangaza
kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa madai
kuwa...
on
Kwanini napinga mchakato wa Katiba Mpya ulivyo sasa na kwanini wewe pia yakupasa uupinge
M. M. MwanakijijiKuamua kushiriki mchakato huu wa "mabadiliko ya Katiba" kama ulivyoanzishwa na kusimamiwa na Chama cha Mapinduzi ni kukubali matokeo ya mchakato huo na hivyo kuupa uhalali ambao ninaamini kabisa hauna. Mchakato huu umekubaliwa - kwa...
on Wednesday, April 11, 2012