Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Kwa mara ya kwanza toka mwaka 1966



Timu ya taifa ya North Korea jana ilitupa karata yake ya kwanza katika mchezo wake na Mabingwa mara tano wa kombe la Dunia Brazil.Walionyesha ufundi katika ngome yao na uwezo wa kunyang'anya mipira na pasi za haraka na kufanya mashambulizi ya haraka.Pamoja na kufungwa walionyesha kuwa hawakuja kusindikiza bali kushindana.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top