Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

MASWALI MENGINE NOMA

Jamaa siku yao ya kwanza ya ndoa akamuuliza mkewe,... "Una hakika mimi ndiye mwanaume wa kwanza kulala nawe?."

Mke akajibu, "Ndiyo honey, wengine wote ilikuwa hatulali ni shughuli tu mpaka asubuhi."

Bwana harusi kazimia...

Ingekuwa ni Wewe ungefanyaje?
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top