Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Diamond Azungumzia Collabo Mpya na Yemi Alade na Jinsi Zari Alivyobadilisha Maisha yake

Diamond Platnumz na Yemi Alade wanatarajia kuja na collabo mpya.
Taarifa hiyo imetolewa na muimbaji huyo wa ‘Make Me Sing’ alipokuwa akiongea na na D’Mike wa kipindi cha Mseto cha Radio Citizen. Amesema yeye na Yemi tangu wakutane kwenye kipindi cha Coke Studio Africa, wameendelea kuwa washkaji wa karibu.
“Wiki mbili zilizopita amenitumia nyimbo yake mpya ambayo tutafanya, na ukiisikiliza hiyo nyimbo ina mahadhi ya kinyumbani East Africa kabisa, siwezi kusema jina inaitwaje japokuwa jina pia ni la Kiswahili,” alisema Diamond.

Katika hatua nyingine, Diamond alieleza jinsi ambavyo Zari amebadilisha maisha yake.
“Kwenye siku hii nzuri maalum ya Valentine’s kitu kikubwa nitakachoweza kumwambia [Zari] ni kwamba nampenda sana na kiukweli amecheza part kubwa sana katika maisha yangu mpaka hapa nilipo,” amesema.
“Amenizalia mtoto ambaye nilikuwa na ndoto hiyo siku zote na kila siku amekuwa akinifanya napevuka kwasababu nakuwa na akili za kimaisha natoka katika utoto nakuwa katika utu uzima ambao unanifanya niweze kutengeneza hata misingi mizuri ya kazi yangu pia. Ukisikiliza nyimbo zangu, strategy zangu za kimuziki zinazidi kupevuka. Ananitunzia moyo wangu vizuri sababu nina mapenzi naye mazito.”

ANGALIA PICHA KALI NNE ZA DIAMOND PLATNUMZ NA MAMA LATY





Picha Mpya za Zari Zilizowaacha Team Wema Midomo Wazi na Kukubali Yaishe

Jana Zari Ameshare Nasi Picha hizi Ambazo Zimezua gumzo mtandaoni kwa wengi kusema amezidi kuwa mcharo utazani binti wa miaka 21 ....Yaani Huwezi Amini kama ni Mama wa watoto wanne mmoja akiwa ni wa Mwimbaji Diamond Platnumz.....

Zari Hassan wa Diamond Awachana Wabongo Wasioelewa Lugha ya Kizungu....Is English The Problem !


Zari wa Diamond Awachokonoa Tena Watanzania...Andika Maneno yafuatayo kwenye picha;


Baadhi ya Comments za Wabongo baada ya post hiyo ya Zari Hizi Hapa chini;

angiielly 
Uande hukoo kama hatujui English si arid kwao wanakoangea English stupid kabisaaa..... Nashangaa mijitu inamsupport huyu mkimbizi kwel kuna mijitu bado mikolon

angeljohn__
Hihihi tatizo Nyerere dah tungekuwa tunamwaga ung'eng'e na cc

doro_cute3 
Awache kupotezea story za DNA, we want to see or else take tiffa to katunzi

ma_fusa_de_beauty 
@zarithebosslady wew n nyoko boss wng sio kwa kauli io panic at your own risk haha salute

kisuramie
Chezea lugha ilokuja kwa majahazi@olivermakundi wifi kaamua now dayz c kwa kutushushua huku

catyfranco19
 thanx to those kwonz english en not kiswakinge 4h


Zari Amtupia Bomu Wema Sepetu, Amuonya Yeye Sio Level Yake

Bomu jipya kutoka kwa mama T, amuonya mrembo wema sepetu aache kuulizia DNA ya mtoto wake badala yake akapime ultra sound ya mtoto ambao anadai amembeba tumboni mwake, mrs T aliendelea kutiririka na kumtaka wema sepetu akashindane na level zake sio yeye

MIMI NDIO ZARI JAMANI KUZAA SIO ISHU SANAAAA......


Diamond’s wife, Zari Hassan, has rubbished her haters who keep saying that she is an old woman and those who have been pushing a rumour on social media that she is now in her 40s.

Zari says that she started giving birth when she was still young and having many children does not translate to one being old.

Here is what she posted;

Ati she has 4 kids she is old blah blah…. Had ma 1st baby when I Was 23. Having kids doesn’t make one old coz you might have had them while young.

ZARI PROVES SHE IS THE HOTTEST WOMAN IN EAST AFRICA EVEN AFTER GIVING BIRTH

Although some haters compare her to an old grand-mother, popular Ugandan socialite, Zari Hassan, has often showed that she is the s3xiest woman in East Africa.


Just see how she has been able to maintain her hot figure even after giving birth.






© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top