Loading...
Home » Posts filed under UDAKU
Msiwalaumu Wadada wa Mjini Kutembea na Wazee
Nimepanda lift kwenye moja ya jengo maarufu na refu hapa mjinikati
karibu na Ohio st. Niko ndani ya lift mzee mmoja smart anongea na simu
kwa sauti ya maringo , upole na yenye kujiamini, kulikua kimya hivyo
unasikia kabisa upande wa pili ni sauti ya kasichana mazungumzo yalikua
hivi.
Mzee - What do you mean..I've told you before not to worry it is
within my capability usichukue gari ya chini, chagua landcruiser au
yoyote ya juu.
Mdada.- '............. .... ....... ..... ........ ........ .... ............
Mzee. - Ok no problem, njoo sasa hivi uchukue cheque kwa ajili ya
kuwalipa NSSF niliongea na mkurugenzi wake akanipromse a nice location
for your appartment.
Anyway we njoo ukifika go to reception I have already reserve a place,
just wait me in the room nina kikao na waziri nikimaliza nakuja.
Niliwai kufika nikatoka liftini nikamuacha bado anaongea.
Kwa kweli niliona hamna sababu ya kuwasema wadada wanaotembea na wazee this dudes knows how to care jamani......
Vijana Siku hizi Hawajui Kuhonga zaidi ya Kuchafuana tu hata hela ya kununua sababu ni kujisafishia hupati
Filed Under:
UDAKU
on Monday, February 15, 2016
Baada ya Kukamatwa na Kitengo cha Madawa ya Kulevya, Kigogo Dar Kortini
Yule mfanyabiashara mkubwa jijini Dar es Salaam mwenye hadhi ya kigogo,
Daudi Yakubu Adam ‘Daudi Kanyau’ (46) ambaye jana gazeti dada na hili,
Uwazi liliandika habari yake akilidai gazeti hilo Sh. Milioni 500 kwa
madai lilimchafua, ameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,
Dar Jumatano iliyopita akituhumiwa kwa mambo mawili.
MASHITAKA YAKE YAKO HIVI
Mbele ya hakimu mkazi wa mahakama hiyo, Thomas Simba, Kanyau ambaye ni
mkazi wa Salasala, Dar alisomewa mashitaka ya kujipatia mali
zinazodhaniwa kuibwa au kupatikana kwa njia isiyo halali.
Kanyau aliambiwa mahakamani hapo kuwa, makosa hayo yapo kinyume cha sheria namba 16, kifungu cha 312 (1) (b) ya mwaka 2002.
“Kesi hii namba 17/ 2016 naiahirisha hadi Februari 17, mwaka huu na
mtuhimwa utaendelea kuwa nje kwa dhamana, “ alisema Hakimu Simba.
AWAPIGA MKWARA WAANDISHI
Wakati anatoka mahakamani, mtuhumiwa huyo alikuwa akiwazuia waandishi wa
gazeti hili kumfotoa. Hata hivyo, juhudi zake hazikuzaa matunda.
KABLA YA KIZIMBANI
Kanyau alipandishwa kizimbani baada ya kushikiliwa kwa siku 7 na Polisi
wa Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Makao Makuu,
Kurasini jijini Dar es Salaam na habari za kukamatwa kwake kuandikwa na
gazeti dada na hili, Uwazi la Januari 19, mwaka huu.
KANYAU ACHARUKA
Mara baada ya habari hiyo kuandikwa gazetini, Kanyau kupitia kwa
mawakili wa Kampuni ya Brocard Attorneys ya jijini Dar, wiki iliyopita,
waliliandikia barua Gazeti la Uwazi akilidai fidia ya Shilingi
500,000,000 kwa madai kuwa, habari ile ilikuwa ni ya uongo kwani mteja
wao hajawahi kutuhumiwa, kukamatwa na polisi wala kufikishwa mahakamani.
KAMANDA WA KIKOSI CHA KUZUIA MADAWA YA KULEVYA
Baada ya Uwazi kupata barua hiyo kutoka kwa watu ambao Kanyau anawaamini
ni wanasheria, Februari 2, mwaka huu, waandishi wetu walikwenda Makao
Makuu ya Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania na
kuonana na mkuu wa kitengo hicho, DCP Robert Boaz (mrithi wa Geofrey
Nzowa) ambaye alithibitisha kikosi chake kumkamata Kanyau.
“Siyo tu kwamba tumemkamata, tayari tumeshamfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.”
Akanyanyua simu yake ya mkononi, akaongea na upande wa pili kuulizia kuhusu kesi hiyo kisha akakakata na kuendelea kusema:
“Haya! Kumbe kesi yake itatajwa tena kesho Jumatano (Februari 3, mwaka huu).”
Kamanda Boaz alisema kikosi chake kinapomkamata mtu na kumhoji,
humpeleleza mambo mengi na wakipata uthibitisho humpeleka mahakamani ili
sheria ifuate mkondo wake.
WAZIRI KITWANGA AKAZIA MADAI
Katika kudhihirisha kuwa, kweli Kanyau alishikiliwa na ‘polisi wa kuzuia
unga’, hivi karibuni, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles
Kitwanga akizungumzia hali ya madawa ya kulevya nchini, aliliambia
Gazeti la Raia Mwema jinsi kikosi cha kuzuia na kupambana na madawa ya
kulevya kilivyomkamata Daudi Kanyau kwa madai ya ‘unga’.
NUKUU YA WAZIRI KITWANGA KUHUSU ‘UNGA’
“Nimeagiza wakuu wa upelelezi kote nchini waunde timu za kupambana na
madawa ya kulevya maana tumekamata mengi sana na hiyo si nguvu ya soda,
labda mimi nifukuzwe hapa (uwaziri).
“Nimeagiza watendaji wa polisi na uhamiaji na idara nyingine wanipatie
taarifa Ijumaa ya kila wiki. Ninafahamu mtandao wote, ndiyo maana
nilisema sihitaji orodha bali nahitaji kufanya kazi ili watu wanaofanya
hizi biashara wafikishwe mahakamani.
“Mfano ni namna kikosi changu (dhidi ya madawa ya kulevya) kilivyomtia
nguvuni Daud Kanyau, anayedaiwa kujihusisha na biashara hizo.“Wewe mtu
kama Kanyau alikuwa anakamatika? Ninachohitaji ni ulinzi. Kuwa
‘protected’. Mungu akihitaji ufe leo utakufa saa hiyohiyo lakini
akihitaji kukutumia kwa ajili ya watu wake atakutumia, hata kwenye
vitabu vitakatifu imeandikwa,” mwisho wa nukuu ya Waziri Kitwanga na
gazeti hilo la Februari 3, mwaka huu.
MASWALI KWA KANYAU
Kama kweli Kanyau hakukamatwa kama mawikili wake walivyosema, Waziri
Kitwanga alikuwa akimzungumzia Kanyau gani?!Kama kweli hajatuhumiwa
chochote, kule mahabusu ya Polisi Ufundi iliyopo Kilwa Road kwenye
kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya, alikaa kwa siku saba kwa
sababu gani?!
KUTOKA MEZANI KWA MHARIRI
Tunapenda kuwaambia wasomaji wetu kwamba, habari ambazo zimekuwa
zikiandikwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers (Risasi Jumatano,
Amani, Ijumaa, Risasi Jumamosi, Ijumaa Wikienda, Uwazi pamoja na ya
michezo, Championi), ni za uhakika na ukweli mtupu zikiwa zimefanyiwa
uchunguzi wa kutosha.
Filed Under:
UDAKU
on Wednesday, February 10, 2016
NAMNA YA KUAMSHA HISIA ZA MWANAMKE KIMAPENZI
Wanaume
wengi huelewa kuwa kuna umuhimu wa kumuandaa mwanamke kwa kumshika
shika maungo yake ya mwili lakini wengi hupuuzia suala hili kwa kuwa wao
hamasa yao ya mapenzi huamka na mwili husisimka tayari kwa kuanza
kushiriki tendo la ndoa mara tu baada ya kuona mwili wa mwanamke ukiwa
mtupu.
Mwanaume wa namna hii huwa hawezi kumfikisha mwanamke kwani mara baada ya kumuingilia mwanamke ambaye hayupo tayari kuingiliwa kimwili kwa kuwa hajaandaliwa, mwanaume hujikuta anafikia mshindo ndani ya sekunde kadhaa na hata akitaka kuzuia bao hushindwa kufanya hivyo, hivyo hujikuta amemaliza haja zake za kimwili na kumuacha mwanamke pengine akiwa hata wazimu haujampanda na kwa bahati mbaya aking’amua hushindwa kurudia tena tendo kwani haitasimama tena.
Wataalamu mbali mbali wa mapenzi wanabainisha ya kuwa wanaume wenye kutumia muda mwingi kumuandaa mwanamke huweza kujizuia kufika mshindo mapema na hivyo hudumu kifuani kwa muda mrefu na hata kufanikiwa mfikisha mwanamke kileleni zaidi ya mara moja.
Hata hivyo muda wa kushikana shikana hutofautiana baina ya mwanamke na mwanamke, wanawake wengi husisimka kutokana na kushikwa matiti, matiti ya mwanamke mara nyingi ni yenye kusisimka sana endapo yatatomaswa vizuri kimahaba ama kwa kutumia mikono au mdomo kupekecha chuchu mithili ya mtu anayemung’unya pipi na wazimu ukianza mpanda ncha za matiti husisimka na kujitokeza yaani hudinda na hali hiyo hujitokeza sehemu zake za siri pia kwa mashavu ya k kupanuka na kuwa na hali ya kusisimka huku kinena kikimsimama na tezi zake hutoa ute.
Ute hutoka mahususi kuruhusu uume kupenya kwa urahisi, hata hivyo si wanawake wote huamsha hamasa ya mapenzi kwa kuchezewa matiti hivyo basi mwanamke anatakiwa kumwongoza mwanaume kwa maneno ama kwa kuweka mikono eneo anataka ashikwe ili apate hamasa ya mapenzi.
Aidha, wanawake wengine huwa hawana ujasiri wa kumwongoza mwanaume kumtomasa sehemu inayomnyegesha, hivyo kujinyima raha ya mapenzi. Hivyo mwanaume anapaswa kumshika shika mwanamke sehemu mbali mbali kama shingoni, mabegani na kumbusu sehemu ya juu ya mwili wake taratibu akiteremsha mikono kwenye sehemu za siri za mwanamke lakini ahakikishe hana kucha zenye ncha na vidole vikavu ili kutomuumiza mpenziwe na kusababisha ashki impotee gafla na asitake tena mambo!
Hapa ili zoezi liwe lenye mafanikio mwanamke anatakiwa kuonyesha ushirikiano kwa kutoa miguno ya kumchanganya mwanaume huku akitanua vema miguu ili mwanaume aweze kushughulika vema na sehemu inayozunguka kinena, hadi atakapobaini mabadiliko ya moyo wa mke, ngozi kuwa na joto, pumzi kuongezeka, uso kukunjamana mithili ya mtu anayeumia na anaweza lia kwa utamu anaousikia na hapo mwanaume anaweza kumwingilia kwani huwa tayari kuingiliwa kimwili.
Mwanaume wa namna hii huwa hawezi kumfikisha mwanamke kwani mara baada ya kumuingilia mwanamke ambaye hayupo tayari kuingiliwa kimwili kwa kuwa hajaandaliwa, mwanaume hujikuta anafikia mshindo ndani ya sekunde kadhaa na hata akitaka kuzuia bao hushindwa kufanya hivyo, hivyo hujikuta amemaliza haja zake za kimwili na kumuacha mwanamke pengine akiwa hata wazimu haujampanda na kwa bahati mbaya aking’amua hushindwa kurudia tena tendo kwani haitasimama tena.
Wataalamu mbali mbali wa mapenzi wanabainisha ya kuwa wanaume wenye kutumia muda mwingi kumuandaa mwanamke huweza kujizuia kufika mshindo mapema na hivyo hudumu kifuani kwa muda mrefu na hata kufanikiwa mfikisha mwanamke kileleni zaidi ya mara moja.
Hata hivyo muda wa kushikana shikana hutofautiana baina ya mwanamke na mwanamke, wanawake wengi husisimka kutokana na kushikwa matiti, matiti ya mwanamke mara nyingi ni yenye kusisimka sana endapo yatatomaswa vizuri kimahaba ama kwa kutumia mikono au mdomo kupekecha chuchu mithili ya mtu anayemung’unya pipi na wazimu ukianza mpanda ncha za matiti husisimka na kujitokeza yaani hudinda na hali hiyo hujitokeza sehemu zake za siri pia kwa mashavu ya k kupanuka na kuwa na hali ya kusisimka huku kinena kikimsimama na tezi zake hutoa ute.
Ute hutoka mahususi kuruhusu uume kupenya kwa urahisi, hata hivyo si wanawake wote huamsha hamasa ya mapenzi kwa kuchezewa matiti hivyo basi mwanamke anatakiwa kumwongoza mwanaume kwa maneno ama kwa kuweka mikono eneo anataka ashikwe ili apate hamasa ya mapenzi.
Aidha, wanawake wengine huwa hawana ujasiri wa kumwongoza mwanaume kumtomasa sehemu inayomnyegesha, hivyo kujinyima raha ya mapenzi. Hivyo mwanaume anapaswa kumshika shika mwanamke sehemu mbali mbali kama shingoni, mabegani na kumbusu sehemu ya juu ya mwili wake taratibu akiteremsha mikono kwenye sehemu za siri za mwanamke lakini ahakikishe hana kucha zenye ncha na vidole vikavu ili kutomuumiza mpenziwe na kusababisha ashki impotee gafla na asitake tena mambo!
Hapa ili zoezi liwe lenye mafanikio mwanamke anatakiwa kuonyesha ushirikiano kwa kutoa miguno ya kumchanganya mwanaume huku akitanua vema miguu ili mwanaume aweze kushughulika vema na sehemu inayozunguka kinena, hadi atakapobaini mabadiliko ya moyo wa mke, ngozi kuwa na joto, pumzi kuongezeka, uso kukunjamana mithili ya mtu anayeumia na anaweza lia kwa utamu anaousikia na hapo mwanaume anaweza kumwingilia kwani huwa tayari kuingiliwa kimwili.
Filed Under:
UDAKU
on
Mwanamke Kuwa Juu ya Mwanaume ni Mtindo Hatari Wakati wa Tendo la ndoa
Wanasayansi nchini Brazil wamefanya utafiti ili kubaini ni mtindo upi
katika ufanyaji tendo la ndoa ulio hatari zaidi kwa mwanaume.
Kwa mujibu wa utafiti huo, mtindo ambao mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndio hatari zaidi na huwa na risk kubwa zaidi ya kusababisha hata kuvunjika kwa uume.
Wanasayansi hao wanasema:
Kwa mujibu wa utafiti huo, mtindo ambao mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndio hatari zaidi na huwa na risk kubwa zaidi ya kusababisha hata kuvunjika kwa uume.
Wanasayansi hao wanasema:
Pindi mwanamke anapokuwa juu, mara zote hucontrol movement na uzito wote wa mwili wake ukitua kwenye uume uliosimama na kushindwa kuzuia pale uume unapokuwa umeingia vibaya kwasababu madhara huwa ni madogo kwa mwanamke bila maumivu lakini ni mabaya kwa mwanaume.
“Pindi mwanaume anapokuwa akicontrol movement, ana nafasi kubwa ya kuzuia kutokana na uume wake kuwa sehemu mbaya na hali inayopelekea kusikia maumivu na hivyo kupunguza hatari.Hivyo inashauriwa kuepuka staili hiyo....
Filed Under:
UDAKU
on Monday, February 8, 2016
Ajali Mbaya Dar Yachukua Uhai wa Kijana Kelvin Kaloosh
Ajali hii imetokea jijini Dar, karibu na Ubalozi wa Kenya usiku wa kuamkia leo.
Pole sana wafiwa na wote walioguswa na msiba huu Hasa wasanii na watu maarufu hapa mjini
Binafsi nimesikitika Sana ;
Mwendokasi unaua...
Usinywe pombe na kuendesha...
Usiendeshe huku ukituma sms...
Usiendeshe ukipapasa mwanamke mapaja...
RIP Kelvin Kaloosh
Filed Under:
UDAKU
on Wednesday, February 3, 2016
HUKO INSTAGRAM NI VITA MPYA KATI YA ZARI NA WEMA
Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea?
Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema Zari.
Wema nae akajibu huku akisisitiza hana muda na Zari wala kaka (Diamond)
Kama haitoshi akapost picha huku akiweka caption ya kuwa kafunzwa na mamie kugombana na watu wazima (Zari) ni kukosa adabu.
Ndipo Zari nae akamjibu kuwa yuko busy na kazi,asijisumbue.
Filed Under:
UDAKU
on Tuesday, January 19, 2016
GARI Aina ya BMW Anayomiliki Masanja Mkandamizaji Yawa Gumzo...Mwenyewe Awataka TRA Wakaikague Kama Hajalipia Ushuru
Mchekeshaji wa Orijino Komedi na mjasiriamali, Masanja Mkandamizaji amesema kila anachomiliki amekinunua kwa pesa yake halali huku akishangaa kwanini watu wameshtuka baada ya kuona anamiliki BMW yenye plate namba ya jina lake.
Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa hii, Masanja alisema anamiliki magari mengi huku akidai BMW X6 ameinunua kama mtu mwingine anavyonunua baiskeli. "Mimi nina magari mengi sana na yote nayachukulia kama chombo cha usafiri cha kunitoa point moja kwenda nyingine,” alisema. “Sasa nashangaa watu wanaongea sana kuhusu mimi kwani gari kitu gani! Hiyo BMW X6 nimenunua kama watu wengine wanavyonunua baiskeli," alijinadi.
Aliongeza, "Na hata hao TRA kama wananisikia waje hapa Clouds nimekuja nayo ipo hapo chini ili waangalie kama sijailipia." Masanja alisema anafanya biashara za aina mbalimbali hivyo kununua gari la thamani siku kitu cha ajabu kwakuwa anaweza kununua kupitia biashara yake moja tu.
Filed Under:
UDAKU
on Friday, January 15, 2016
EAT AND LIVE HEALTHY::NJIA SABA ZA KUKUSAIDIA KUACHA KUKOROMA (SNORING)
Na wewe ni mmoja wapo wa
wanaokoroma wakilala???Asilimia 45% ya watu wazima inasemekana
wanakoroma occasionally ,wengine hata mnawatania wenzenu wanaokoroma sio
issue.Ila snoring ina BOAA


”Wale wa ndani ya ndoa huwa
yaleta vijiproblems maana waweza usiweze kulala kabisa kama mwenzio
anakoroma na wengine huwa wana hama hadi vyumba si mchezo .
Sio tu kukoroma kuna boa ila
asilimia 75 ya watu wanaokoroma wana kitu kinaitwa obstructive sleep
apnea (jina la kitaalamu)hii ni il uhemaji unakuwa disrupted wakati wa
kulala na hua ina increase the risk ya kudevelop heart disease.
Kuna wanaoenda hospital
kucheki na madaktari ila kuna hizi natural solutions and lifestyle
changes ambazo unaweza kutumia ikasaidia ku stop snoring.
1. Change Your Sleep Position/Badili Pozi lako la kulala
Jitahidi kulala kwa ubavu kwasababu kulala kwa mgongo kunafanya the base ya ulimi wako na ile soft palate kuangukia kwenye ukuta wa koo lako which inasababisha kuwe na vibrating sound wakati ukalala hence unakoroma , so kulala kwa ubavu itasaidia.2. Punguza uzito /Lose Weight
Kupunguza uzito kunasaidia ila kuna watu wembamba na wanakoroma ,kama umeongezeka uzito na ukaanza kukoroma na hukua unakoroma kabla ya kuongezeka uzito basi weightlooss itakuasaidi.Kama umeongezeka weight around shingoni hii ina squeeze the internal diaeter ya koo lako inayofanya inaanguka wakati wa kulala na kusababaisha mtu kukoroma.3. Epuka unyawaji pombe/Avoid Alcohol.
Alcohol na sedatives/tranquilizer inapunguza ile resting tone ya mishipa nyuma ya koo lako ambapo mwisho wa siku ndo unakoroma.Pia kunywa pombe masaa manne mpaka matano kabla ya kulala kunafanya snoring to be worse.Watu ambao huwa hawakoromi basi wakinywa pombe huwa wengi wao wanakoroma .4. Kuwa na tabia ya kulala ukiwa msafi/sehemu safi/Practice Good Sleep Hygiene.
Poor sleep habits ina effect sawa na unywaji wa pombe ,kufanya kazi kwa masaa mengi bila kulala basi ukapata chance ya kulala unalala ukiwa umechoka sana.Na unalala very deep inayofanya mishipa kuwa floppier na kukufanya ukorome.

5. Open Nasal Passages.
Kama unakoroma kupitia puani basi kufungua hizi tundu za pua
kunaweza kukusaidi maana itafanya hewa ipite taratibu .Kama pua
imejifunga kwa mafua au chochote basi ukiwa umelala kule kuhema kwa
shida waweza kukoroma pia.
Kingine ni kuoga na maji ya moto au
vuguvugu inasaidia pia ,kingine kuwa na maji yenye chumvi kwa badfu yako
and rinse ur nose out wakati wa ku shower itasaidia kuopen up tundu za
pua.Nasal strips may also work to lift nasal passages and open them up — if the problem exists in your nose and not within the soft palate.
6.Change Your Pillows/Kuwa na utamaduni wa kubaidili mito yako mara kwa mara
Allergens kwa bedroom yako
au mito yako yaweza kuwa inachangia wewe kukoroma,au zile feni zenu kama
huna Ac safisheni feni hizo ziwe za chini au zile za juu ,badili mito
yako au ifue basi mara kwa mara iwe misafi.
wadudu /Mites wanaokaa
kwenye mito wanasababisha allegies na reaction yake yaweza kuwa
kukoroma.Kingine ni wale mnaolala na pets iwe paka ua mbwa wale wanaacha
manyoya yao na mites wao wanaowabeba yaweza kukuletea majanga ukivuta
hiyo hewa.
So badili mito yako kila baada ya miezi sita na usilale na pets kitandani.

7. Stay Well Hydrated
Kunywa vinywaji vya maji maji kwa wingi au hata matunda yenye maji mengi ,hakikisha una maji yakutosha mwilini mwako.” According to the Institute of Medicine, healthy women should have about 11 cups of total water (from all drinks and food) a day; men require about 16 cups.
Kwa ujumla hakikisha unapata muda wa kutosha kulala vizuri,jiepushe na pombe kabla ya kulala na oga na maji ya vuguvugu kama pua zimefunga .
CREDIT:8020
Filed Under:
UDAKU
on Tuesday, December 1, 2015
SIKU HIZI VITAMBI KWA WANAUME IMEKUWA NI FASHENI JE VITANDANI WANAWEZA ?

As usual, hivi mwanaume kinachokufanya uwe na mtumbo huooo kama hauendi
chooni maana yake nini? angalau wanawake wana cha kusingizia(uzazi) japo
sio sana.
Yaani siku hizi sio wembamba na vibonge wote wana vitambi, yaani hampendezi wala kuvutia kutazamwa, mwanaume unakuwaje na mtumbo mkubwa hivyo? Kiafya ni hatari, lakini pia kwa shughuli ya 6 kwa 6 ndio kabisaaa, goli moja mtu chaliii, thanx God mume wangu hana na nahakikisha hakiji,mazoezi kwa sana na kula healthy na kunywa maji mengi, bahati nzuri hata yeye hakipendi so am happy.
Unakuta kijana mdogo ana mtumbo huo hata kumuangalia inatia kichefuchefu, hebu fanyeni mazoezi bwana na muache kula kula kama mchwa na mibia kama mnamkomoa mtengenezaji wanawake wanalia kwenye ndoa zao huduma za kitandani hovyo kabisa kwasababu ya hiyo mitumbo yenu,mkichapiwa mtalalamika!?
Yaani siku hizi sio wembamba na vibonge wote wana vitambi, yaani hampendezi wala kuvutia kutazamwa, mwanaume unakuwaje na mtumbo mkubwa hivyo? Kiafya ni hatari, lakini pia kwa shughuli ya 6 kwa 6 ndio kabisaaa, goli moja mtu chaliii, thanx God mume wangu hana na nahakikisha hakiji,mazoezi kwa sana na kula healthy na kunywa maji mengi, bahati nzuri hata yeye hakipendi so am happy.
Unakuta kijana mdogo ana mtumbo huo hata kumuangalia inatia kichefuchefu, hebu fanyeni mazoezi bwana na muache kula kula kama mchwa na mibia kama mnamkomoa mtengenezaji wanawake wanalia kwenye ndoa zao huduma za kitandani hovyo kabisa kwasababu ya hiyo mitumbo yenu,mkichapiwa mtalalamika!?

Sio siri hiyo mitumbo yenu ni tatizo hebu chukueni hatua, migonjwa inawanyemelea mwisho mfe mapema mtuache tukihangaika na watoto peke yetu kwa uzembe wenu kitambi sio dili, piga vita minyama uzembe.
Am out.
Filed Under:
UDAKU
on Monday, November 23, 2015
Wanawake Acheni Kuvaa Mawigi Hampendezi Wala Kuvutia-Say NO to Fake Hair.
Mwanamke anapendeza na kuvutia zaidi anapokuwa na nywele zake za asili wala sio mawigi. Hiyo ni FACT.
Mawigi yanaboa na yanatupunguzia hisia, mfano pale mwanaume
unavyozishika au kujaribu kuzichezea alafu kwa ndani anakutana na mabutu
yaliyotumika kushonea wigi...Inaboa Hasa
Ni kama likofia fulani hivi linalovaliwa au kushonwa kichwani kwa
mwanamke, ambayo pamoja na kwamba KIUHALISIA halimuongezei mwanamke
mvuto (hata kama ni la Laki Moja), linatakiwa libadilishwe kila baada ya
muda fulani.
Wanawake bakini na nywele zenu za asili, zipeni matunzo na usafi wala
hamna haja ya kuhangaika na kubadilisha mawigi maana wanaume {99.99%}
hatuzipendi. Zinaboa hata kuangalia.
Cha kushangaza, utamkuta mwanamke wa kibongo eti naye anahangaika kuweka
liwigi lake vizuri kanakwamba linamzuia kuona vizuri wakati ni FAKE
HAIR na yeye mwenyewe kaliweka hivyo kwa makusudi kuiga Wazungu.
Say NO to Fake Hair.
Filed Under:
UDAKU
on
Zaidi ya vijana 300 wajitokeza katika usaili wa Swahili fashion week
Zaidi
ya vijana mia tatu wajitokeza katika usaili wa Onesho la Swahili
fashion week ulifanyika mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Colosseum
iliyopo Oster bay jijini Dar es Salaam.Mwitikio ulikuwa mkubwa sana kwa
vijana ikiwa ni kutaka kushiriki katika onyesho hilo linalozidi kukua
zaidi kwa kuhudhuriwa na wanamitindo wa kimataifa hapa nchini.
Akiongea
katika usaili huo Mwanamitindo maarufu nchini Mustafa Hassanali ambaye
ni mwasisi wa shindano hili amesema kuwa umaarufu wake umekuwa
ukiongezeka mwaka hadi mwaka kwa kuongezeka wanamitindo wa
kimataifa,washiriki,wafuatiliaji wake na wadhamini
“Swahili
Fashion Week ni jukwaa kubwa la mitindo ya mavazi la kila mwaka katika
ukanda wa Afrika mashariki na kati kwa sasa. Huu ni mwaka wa nane sasa,
ambapo Swahili Fashion Week imekuwa ni Jukwaa la wanamitindo na
watengeneza vipodozi vya urembo kutoka katika nchi zinazoongea Kiswahili
na bara zima la Afrika kwa ujumla kuweza kuonesha vipaji, kutangaza
ubunifu wao na kukuza mtandao wa mawasiliano ya kibiashara ndani na nje
ya nchi kwa wadau wa mitindo.
Hili limelenga kuhamasisha ukanda huu wa
Afrika Mashariki na Kati kwamba ubunifu wa mavazi ni njia moja wapo ya
kujipatia kipato na wakati huo huo kukuza bidhaa zinazotengenezwa
Afrika(Made in Africa concept na shindano hilo ltaanza mnamo disemba
4-6)”.Alisema Hassanal
Naye
Matina Nkurlu Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania ambao ni wadhamini wa
Onyesho hilo kwa miaka nane imesema adhima ya kampuni kuendelea
kusaidia kuboresha michezo na Sanaa nchini kwa kuwa inaamini kupitia
fani hizi watanzania wengi wanaweza kunufaika kwa kupata ajira na
kuwezesha serikali kupata mapato kwa njia ya kodi.
“Sisi
kama Vodacom Tanzania tunaamini fani hii ya ubunifu wa mitindo na
mavazi kwa kiasi kikubwa inaweza kuongeza ajira nchini na kuinua vipato
vya wajasiriamali wengi kama ilivyo michezo mingine ndio maana kila
mwaka tunajitosa katika udhamini wa mashindano haya yenye mwelekeo wa
kubadilisha maisha ya wasajiriamali wa Tanzania kwa maisha yao kuwa
murua”.Alisema
Mmoja wa majaji katika Usaili wa
Swahili Fashion week uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam
akimuuliza swali mmoja wa wanamitindo waliofika katika usaili huo.Ambapo
wanamitindo waliochaguliwa katika Usaili huo watapata frusa ya
kushiriki katika kuonesha mitindo mbalimbali katika Onesho hilo
linadhaminiwa na Vodacom Tanzania litakalo fanyika kuanzia Disemba 4-6.
Mariam Rajabu na Regina John wakipita
mbele ya wanamitindo wenzao wakati wa Usaili wa Swahili Fashion week
uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam,Ambapo wanamitindo
waliochaguliwa katika Usaili huo watapata frusa ya kushiriki katika
onesha mitindo mbalimbali katika onesho hilo linadhaminiwa na Vodacom
Tanzania litakalo fanyika kuanzia Disemba 4-6.
Mwanamitindo
maarufu nchini na Mwasisi wa shindano la Swahili Fashion week,Mustafa
Hassanali(wapili toka kushoto waliokaa)akisalimiana na Meneja Uhusiano
wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu wakati wa Usaili
wa Swahili Fashion week uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es
Salaam,Ambapo wanamitindo waliochaguliwa katika Usaili huo watapata
frusa ya kushiriki katika onesha mitindo mbalimbali katika onesho hilo
linadhaminiwa na Vodacom Tanzania litakalo fanyika kuanzia Disemba 4-6
Filed Under:
UDAKU
on
KUTANA NA WABUNGE 15 'VISU'
CATHERINE MAGIGE(CCM)
Sifael Paul na Brighton Masalu
Upande wa pili! Bunge la 11
liliahirishwa Ijumaa iliyopita ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dk John Pombe Magufuli aliwahutubia wabunge huku Waziri Mkuu,
Majaliwa Kassim Majaliwa akihitimisha hotuba kwa kuliahirisha rasmi
bunge hilo hadi Januari 26, mwakani.
Hata hivyo, hiyo siyo hoja wala gumzo
kuu la bunge hilo ambalo linajumuisha wabunge wengi wapya kutoka vyama
mbalimbali, lakini ‘pointi’ kubwa ni jinsi wabunge 15 wanawake ambao
walilitikisa bunge hilo kutokana na urembo wao na kuzua gumzo kubwa.
Wabunge hao warembo a.k.a visu ambao
umri wao bado ni ‘asubuhi’, walikuwa kivutio machoni mwa baadhi ya
wabunge hususan vijana ambao ‘walivunjika’ shingo juu ya wawakilishi
hao.
Ijumaa Wikienda
linakupa orodha ya wabunge hao warembo ambapo waliojulikana kwa
kukimbiza kama akina Halima Mdee wametakiwa kukaa chonjo. Hata hivyo,
wabunge warembo wa kike ni wengi, lakini wafuatao ndiyo ‘shida’ kuanzia
maumbo na sura zao.
CATHERINE MAGIGE (CCM)
Rekodi ya urembo wake haijawahi kuvunjwa
bungeni. Mara zote, tangu alipotinga bungeni mwaka 2010, amekuwa gumzo
kubwa kwa uzuri wake, licha ya kushindanishwa na wabunge kadhaa, lakini
bado ‘anatusua’ vilivyo.
Hii ni mara yake ya kwanza kuingia
bungeni. Uzuri na urembo wake umeonekana gumzo bungeni tangu mwanzo hadi
mwisho wa kikao hicho. Sura, umbo na macho yake vimekuwa kivutio
kikubwa.
ANGELLA KAIRUKI (CCM)
Ukimwangalia vibaya, unaweza kusema ni
shombeshombe. Urembo wa sura yake, umekuwa ukiwapa nyakati ngumu watu
wengi, wakati mwingine kushindwa hata kung’amua kama ana asili ya
Kiarabu au la! Kinachomuongezea sifa katika kilinge cha urembo ni umbo
lake lililojengeka.
ESTER MATIKO (CHADEMA)
Achana na ukali wa hoja zake
anapochangia mijadala. Hiki ni ‘kisu’ kikali kinachovutia bungeni. Umbo
lake la ‘kitoto’, uzuri wa sura na macho ya mviringo, vinamfanya
aonekane mrembo na mwenye uzuri wa kupindukia.
LOLESIA BUKWIMBA (CCM)
Tabasamu lake ndiyo limekuwa gumzo. Sura
yenye uchangamfu imekuwa ikiteka macho ya watu wengi. Kamwe huwezi
kuchoka kumtazama mwakilishi huyo. Mpole kama alivyo, lakini amekuwa
‘akikimbiza’ vilivyo mjengoni.
DK MARRY MWANJELWA (CCM)
Licha ya umri kuanza kumpigia honi
lakini anawafunika wabunge wengi wenye umri mdogo. Urefu na figa nzuri,
vinachangia kwa kiasi kikubwa kumweka kwenye orodha ya wabunge wa kike
wanaotikisa kwa uzuri.
UMMY MWALIMU (CCM)
Hana makuu. Mpole na mwenye aibu wakati
wote, lakini urembo wake unashereheshwa na umbo lake matata. Ana urembo
wa haja unaoyapa macho kazi ya ziada kuitafuta kasoro yake.
CECILIA PARESSO (CHADEMA)
Urembo, uzuri wa umbo lake, urefu, unene wa wastani na sura nzuri vinatosha kumuingiza kwenye orodha hii.
JULIANA SHONZA (CCM)
Umbo lake ni la kawaida, lakini shughuli iko usoni. Achana na sehemu zingine za mwili, ukimtazama usoni tu utagundua ni kisu.
LUCY MAYENGA (CCM)
Ni mrembo wa umbo na sura. Hahitaji
maneno mengi kumwelezea, lakini ukweli unabaki palepale kuwa ni miongoni
mwa wabunge warembo walioupa shida Mji wa Dodoma.
MBONI MHITA (CCM)
Akiwa umbali kidogo kutoka mahali ulipo,
unaweza kumchukulia kawaida! Shughuli ipo akikusogelea. Umbo na uzuri
wake ni habari nyingine.
NEEMA MGAYA (CCM)
Rangi yake ya asili, ngozi laini, umbo
namba nane na ucheshi wake, vinamtetea kuingia kwenye ulingo wa wabunge
hawa warembo zaidi.
VICKY KAMATA (CCM)
Silaha kubwa aliyonayo ni midomo na
macho! Geuza gazeti nyuma, mtazame tena Vicky, unaona? Si umbo, si sura,
si macho, si mdomo, Vicky Kamata ni mrembo. Inatosha kusema hivyo tu.
JESCA KISHOA (CHADEMA)
Ni mrembo anayevutia kwenye viunga vya
bungeni na inawezekana ndiyo maana aliyekuwa Mbunge wa NCCR-Mageuzi,
David Kafulila aliamua kuchukua jumla na kumweka ndani.
ESTER BULAYA (CHADEMA)
Kama unahitaji kumpongeza muumba kwa
kazi njema, wewe mtazame Ester Bulaya, si mrefu, si mfupi, si mweusi
wala si mweupe. Yuko kati kwa kati. Akitembea, kama ni barabarani,
jihadhari na vyombo vingine vya usafiri.
SOURCE:GPL
Filed Under:
UDAKU
on
LULU KATIKA HEADLINE TENA ADAIWA KUPORA MUME WA MTU
MAPENZI ya mjini utata mtupu! Ni kauli inayostahili kutumika baada ya
mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto kumwaga chozi akidai
kuporwa bwana’ke aliyekuwa akimpa jeuri mjini (jina tunalo) huku zigo la
lawama likimwangukia staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael
‘Lulu’.
CHANZO KINASEMAJE?
Habari kutoka kwa chanzo makini zilieleza kwamba, kwa sasa kuna bifu jipya linalotokota mjini likihusisha sakata la Lulu kumpiku Mobeto kwa bwana’ke aliyekuwa akimgharamia kiasi cha kuwa mwanaume pekee aliyemwamini hadi kufikia hatua ya kumzalia mtoto.
Ilidaiwa kwamba, jambo hilo Lulu hakulithamini na kuamua kumpiku huku akimuacha akiishia kulalama kila kukicha.
“Najua hamuujui mchongo huu. Sasa ngoja niwapashe habari kwa kina. Nimeamini Lulu kweli ni jasiri, maana kwa alichomfanyia Mobeto Mungu ndiye anajua.
PEDESHEE MPYA WA LULU?
“Huwezi kuamini yule bwana wa Mobeto Lulu kaamua kujiweka kwake, inaweza kuwa ngumu watu kukubali lakini ndiyo ukweli wenyewe.
“Unaambiwa mtiti wa Mobeto na Lulu ulianza kama mwezi mmoja uliopita. Walianza kwa kuandikana kwa mafumbo kama waimba taarab kwenye mitandao ya kijamii.
MAFUMBO INSTAGRAM
“Nimekutana na rafiki wa Mobeto ndiye kanipa mkanda wote kuwa Lulu kampiku Mobeto kwa bwana’ke ndiyo maana mafumbo hayaishi Instagram.
MOBETO HATAKI KUMSIKIA LULU
“Kwa sasa Mobeto hataki kusikia habari za Lulu na ukimuuliza anasema Mungu atamlipia kwani anamshukuru kumtoa huko kwani alipo sasa ana amani tele,” kilidai chanzo hicho.
MOBETO AFUNGUKA MAZITO
Kwa upande wake, Mobeto alipoulizwa juu ya sakata hilo alisema kuwa kwa sasa ana mambo yake mengine hivyo habari za Lulu ingekuwa vizuri akaulizwa yeye na huyo bwana’ke.
Mobeto alisema kuwa kwa sasa anachoweza kuzungumzia ni juu ya maisha ya mama yake mzazi na mtoto wake kwani hao ndiyo faraja pekee iliyobaki kwake.
Alisema kuwa, hapendi kuzungumzia mambo yaliyopita kwani kila jaribu lina mlango wake wa kutokea hivyo yawezekana yote Mungu aliyapanga akiwa na sababu za msingi.
“Mambo hayo mimi sitaki hata kuyazungumzia kwa sasa, nafikiri ingekuwa vyema ukamuuliza Lulu na ….(anamtaja huyo mwanaume) kwani wao ndiyo wanaweza kukupa ukweli na kukusimulia kiunagaubaga.
MOBETO AMWACHIA MUNGU
“Katika maisha yangu, kwa sasa namwangalia mtoto na mama yangu, hao wakikosa furaha hata mimi siwezi kuwa na amani kwenye maisha yangu, kwani mambo mengine yakishapita hakuna sababu ya kuyaendeleza zaidi namshukuru Mungu.
“Kwa sasa nina michongo yangu mipya na siko tayari tena kuzungumzia habari nje ya familia yangu.
“Ninachoweza kukuambia ni kwamba maisha yana kila staili ya kuishi hivyo sifikirii tena kuingia kwenye mitandao ya kijamii kuzungumzia habari za mtu kwani hata hao wanaonizungumzia sina muda wa kuanza kusoma comments (maoni) zao wala kuwajibu.
“Kwa kifupi sijawahi hata kuona mambo yanayozungumzwa kuhusu mimi kwenye mitandao maana huwa sisomi tena kwani kila mtu ana namna ya maisha aliyochagua.
“Hata huyo Lulu na timu zake mimi sina muda wa kusoma mambo yao kwani Mungu ndiye tegemeo langu,” alisema Mobeto.
LULU ARUKA MITA MIA
Alipotafutwa Lulu na kupewa taarifa za uporaji wa bwana wa mtu, aliruka mita mia moja kwa kusema kuwa habari hiyo ni mpya kwake na hajawahi kusikia lolote ila ndiyo anaambiwa kwa sasa hivyo kama kuna mtu ana picha zake na huyo bwana wa Mobeto, basi ndiyo anapata taarifa.
“Madai haya kwangu ni mapya na siyajui ndiyo mnaniambia kwa mara ya kwanza, sioni sababu ya kulizungumzia,” alisema Lulu.
Chanzo:GPL
CHANZO KINASEMAJE?
Habari kutoka kwa chanzo makini zilieleza kwamba, kwa sasa kuna bifu jipya linalotokota mjini likihusisha sakata la Lulu kumpiku Mobeto kwa bwana’ke aliyekuwa akimgharamia kiasi cha kuwa mwanaume pekee aliyemwamini hadi kufikia hatua ya kumzalia mtoto.
Ilidaiwa kwamba, jambo hilo Lulu hakulithamini na kuamua kumpiku huku akimuacha akiishia kulalama kila kukicha.
“Najua hamuujui mchongo huu. Sasa ngoja niwapashe habari kwa kina. Nimeamini Lulu kweli ni jasiri, maana kwa alichomfanyia Mobeto Mungu ndiye anajua.
PEDESHEE MPYA WA LULU?
“Huwezi kuamini yule bwana wa Mobeto Lulu kaamua kujiweka kwake, inaweza kuwa ngumu watu kukubali lakini ndiyo ukweli wenyewe.
“Unaambiwa mtiti wa Mobeto na Lulu ulianza kama mwezi mmoja uliopita. Walianza kwa kuandikana kwa mafumbo kama waimba taarab kwenye mitandao ya kijamii.
MAFUMBO INSTAGRAM
“Nimekutana na rafiki wa Mobeto ndiye kanipa mkanda wote kuwa Lulu kampiku Mobeto kwa bwana’ke ndiyo maana mafumbo hayaishi Instagram.
MOBETO HATAKI KUMSIKIA LULU
“Kwa sasa Mobeto hataki kusikia habari za Lulu na ukimuuliza anasema Mungu atamlipia kwani anamshukuru kumtoa huko kwani alipo sasa ana amani tele,” kilidai chanzo hicho.
MOBETO AFUNGUKA MAZITO
Kwa upande wake, Mobeto alipoulizwa juu ya sakata hilo alisema kuwa kwa sasa ana mambo yake mengine hivyo habari za Lulu ingekuwa vizuri akaulizwa yeye na huyo bwana’ke.
Mobeto alisema kuwa kwa sasa anachoweza kuzungumzia ni juu ya maisha ya mama yake mzazi na mtoto wake kwani hao ndiyo faraja pekee iliyobaki kwake.
Alisema kuwa, hapendi kuzungumzia mambo yaliyopita kwani kila jaribu lina mlango wake wa kutokea hivyo yawezekana yote Mungu aliyapanga akiwa na sababu za msingi.
“Mambo hayo mimi sitaki hata kuyazungumzia kwa sasa, nafikiri ingekuwa vyema ukamuuliza Lulu na ….(anamtaja huyo mwanaume) kwani wao ndiyo wanaweza kukupa ukweli na kukusimulia kiunagaubaga.
MOBETO AMWACHIA MUNGU
“Katika maisha yangu, kwa sasa namwangalia mtoto na mama yangu, hao wakikosa furaha hata mimi siwezi kuwa na amani kwenye maisha yangu, kwani mambo mengine yakishapita hakuna sababu ya kuyaendeleza zaidi namshukuru Mungu.
“Kwa sasa nina michongo yangu mipya na siko tayari tena kuzungumzia habari nje ya familia yangu.
“Ninachoweza kukuambia ni kwamba maisha yana kila staili ya kuishi hivyo sifikirii tena kuingia kwenye mitandao ya kijamii kuzungumzia habari za mtu kwani hata hao wanaonizungumzia sina muda wa kuanza kusoma comments (maoni) zao wala kuwajibu.
“Kwa kifupi sijawahi hata kuona mambo yanayozungumzwa kuhusu mimi kwenye mitandao maana huwa sisomi tena kwani kila mtu ana namna ya maisha aliyochagua.
“Hata huyo Lulu na timu zake mimi sina muda wa kusoma mambo yao kwani Mungu ndiye tegemeo langu,” alisema Mobeto.
LULU ARUKA MITA MIA
Alipotafutwa Lulu na kupewa taarifa za uporaji wa bwana wa mtu, aliruka mita mia moja kwa kusema kuwa habari hiyo ni mpya kwake na hajawahi kusikia lolote ila ndiyo anaambiwa kwa sasa hivyo kama kuna mtu ana picha zake na huyo bwana wa Mobeto, basi ndiyo anapata taarifa.
“Madai haya kwangu ni mapya na siyajui ndiyo mnaniambia kwa mara ya kwanza, sioni sababu ya kulizungumzia,” alisema Lulu.
Chanzo:GPL
Filed Under:
UDAKU
on Sunday, November 22, 2015
IRENE UWOYA NAKUJA KIVINGINE KABISA
Irene Uwoya amerudi rasmi katika filamu baada ya kumaliza pilika pilika
za uchaguzi ambapo ametangaza deal kwa vijana wapya katika filamu.
Kupitia ukurasa wa Instagram, Irene ameandika:
Habari zenu wapendwa!kuna movie mpya naaandaa…tunahitaji wasanii wapya wakike na wakiume…ambao hawajawah kuigiza!kunamaswali tutauliza ukipita utaitwa kwajili ya form na mahojiano zaidi…..swali la kwanza!ntajie wasaniii watatu wanao kuvutia na kwanin?
Kupitia ukurasa wa Instagram, Irene ameandika:
Habari zenu wapendwa!kuna movie mpya naaandaa…tunahitaji wasanii wapya wakike na wakiume…ambao hawajawah kuigiza!kunamaswali tutauliza ukipita utaitwa kwajili ya form na mahojiano zaidi…..swali la kwanza!ntajie wasaniii watatu wanao kuvutia na kwanin?
Filed Under:
UDAKU
on
This is HUDDAH’s favourite “CHUPI”, Its price can pay your rent (PHOTO
Filed Under:
UDAKU
on Thursday, November 19, 2015