Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Maandamano Nzega ni Saa Nane kamili Leo Jumamosi


Hamisi Kigwangalla ‏@hkigwangalla

Nane kamili tunaanza maandamano. Watu wamehamasika kweli, naambiwa wamejitokeza kwa wingi, polisi wamemwagwa kila kona..operation amka Nzega

Mh. Hamisi Kigwangalla :Hatimaye maandamano yetu ya kesho yapewa green lights. Karibuni nyote


Mbunge wa Nzega Hamisi Kigwangalla.
Maandamano ya wananchi wa Nzega kudai haki zao dhidi ya mgodi sasa kufanyika tar 16 Juni 2012. Nyote mnaalikwa kutuunga mkono

Hivi watu wengine wote hawaoni kama mikataba ya madini ni ya wizi, haifai na ifutwe? Mi kila nikisoma MDA ya Resolute Naona ni wizi mtupu!

Tumewasilisha rasmi barua ya kuomba ulinzi wa polisi kwenye maandamano ya wananchi wa Nzega kudai haki zao dhidi ya mgodi. @mariaSTsehai

Umefika wakati sasa wananchi tusimame kidete tuseme basi, inatosha! Mikataba mibovu kny madini mwisho, kizazi hki kimeshindwa, tuwaachie wtt

Nawapongeza viongozi wa serikali mkoa wa Tabora kwa busara yao kuruhusu maandamano ya kesho kudai haki za wananchi dhidi ya mgodi

Kuelekea kusomwa Bajeti Dodoma vunja mbavu na Bajeti ya Mlalahoi Masanjawani


#BajetiyaMlalahoi Vocha ya jero iuzwe mia nne hamsini, ati listi tubaki na hamsini ya kuskrachi!

#BajetiyaMlalahoi Kile kishimo katika donati kitolewe, kinakula tu nafasi!

#BajetiyaMlalahoi Pakingi tauni ishuke, si tunapaki eti awa ouni riski ama?

#BajetiyaMlalahoi Safari za kwenda Bondeni kwa Madiba zishuke bei, bondeni, si ndege inashuka tu, unaweka frii!

#BajetiyaMlalahoi Ili sirikali ijipange na suala la ajira, inabidi ianze kumlipa kila mtu anayemaliza masomo halafu akakosa ajira!

#BajetiyaMlalahoi Sinza yoooote iwe na kodi moja ya nyumba! Si inakuwa ngumu kuelewa tofauti! Banda la uani laki, la pembeni laki mbili!

#BajetiyaMlalahoi Supamaketi wawe wanauza slesi za mikate. Kwani kila mtu ana uwezo wa kununua mkate mzima?!

#BajetiyaMlalahoi John Walker afike mwisho wa safari yake ili bei ya ile Whiskey yake ishuke. Muda wooote anatembea!

#BajetiyaMlalahoi MPs wote wawe wanapanda treni kutoka Dar kwenda Dodoma. Mwakye kaonyesha njia! Wakubwa zaidi treni fasti klasi!

#BajetiyaMlalahoi Gongo ihalalishwe rasmi, iitwe Whiskey ya Mlalahoi, Made In Tanzania.

#BajetiyaMlalahoi Tufikirie na suala la posho ya mapoudaaaa kwa wanasihasa, ili politiksi iache kuitwa showbiz for ugly people!

#BajetiyaMlalahoi #Budgetyamasufferer Logo ya apple ing'atwe tena kusudi bidhaa za apple zishuke bei!

#BajetiyaMlalahoi Kama Ice Cream ni buku jero, ifike pahala tumwambie muuzaje ailambe hadi ibaki ya buku ndo atuuzie!

#BajetiYaMlalaho Unga wa Sembe wa Baharesa uwekewe fleva ya kuku, ati listi ukila ugali kwa mchicha, ugali uwe una kasimeli ka kuku

#BajetiYaMlalahoi Siku ya kwenda kutoa mahari, uwe unaruhusiwa kutoa risiti za matumizi ulifanya kwa binti wakati mko uchumba! Zijumlishiwe!

#BajetiYaMlalaho #Budgetyamasufferer Watu wenye vishilingi kichwani pia walipe kodi!

#BajetiYaMlalahoi Pakingi fii iruhusiwe malipo mbadala, hata lifti kwa wale wanachukua hela ya pakingi!

#BajetiYaMlalahoi Hivi Wabonge hawawezi kutumia Vitz ama ni gani?

#BajetiYaMlalahoi Hivi hawawezi kuweka sheria hiki chakula kinaitwa Pizza kikauzwa kwa vipande? Nzima imekuwa bei juu sana!

#BajetiYaMlalahoi Kuwe na kaplani kakufanya Masaki nzima iwe hostelzi za wanafunzi! Itapandisha morali ya kufaulu!

#BajetiYaMlalahoi #BudgetYaMasufferer Na bei ya mahindi ya kuchoma ishuke! Kwani inatumika gesi kuchoma mahindi ama ni gani?!

#BajetiYaMlalahoi #BudgetYaMasufferer Hii "Road To Success" ijengwe na Wachina ili ikamilike fasta na jam iishe!

#BajetiYaMlalahoi Hii reli ya kati hamuwezi kutanua ikafika kwa Madiba? Watu wameteseka mno na kuzamia meli!

#BajetiYaMlalahoi Fonti saizi ya magazeti iongezwe hadi 70 ili tusome vizuri tukiwa kwenye daladala. Pipo 6 gazeti moja!

#BajetiYaMlalahoi Ipitishwe sheria kuzuia kujibu nyimbo za bongo fleva. Saidia kukuza kipaji cha Inspekta, msaidie asijibu nyimbo!

Masanja Mkandamizaji ‏@masanjawani

#BajetiYaMlalahoi BodaBoda ziwekewe ngao kabisa. Kwani hamuoni ni hatari mtu anachomekea lori la mchanga bila ngao wala helmenti!

Soma zaidi kwa kumfutilia huko twetter kwa kupitia.......
Masanja Mkandamizaji ‏@masanjawani

Kupitia Twitter Mbunge wa Kigamboni alia na ahadi hewa za Serikali



Mfuatilie Twitter..
Faustine Ndugulile ‏@DocFaustine

Serikali yaendelea na ahadi hewa za Mji Mpya wa Kigamboni. Mahitaji ya mradi 15 Trillion. Bajeti ya maendeleo 2012/13 ni 5 Trillioni
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top