



Picha zikijieleza zenyewe namna tunayoweza kuwa karibu na watoto wetu si lazima ufanye anyayo David Beckham la hasha ni ule umuhimu wa mzazi kupanga angalao muda mchache tu aweze kukaa na wanae kuongea nao mawili matatu pia na kucheza nao ili wajisikie.Jaribu siku moja uione furaha hiyo nyusoni mwa wanao ...!!