Hii ni sehemu ya pili kati ya mfululizo wa mahojiano na Mhe. Zitto Kabwe.
Katika sehemu hii, anazungumzia hali ya kisiasa ndani ya CHADEMA na TANZANIA. Hofu yake juu ya ukuaji wa chama chake.
Matatizo yanayoukumba uchumi wa nchi.
Je! Anahofia kuwa yale yaliyotokea kwenye nchi za Arabuni yanaweza kutokea Tanzania?
Loading...
Post a Comment
CodeNirvana