RAIS Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, yupo kizimbani muda huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumtetea aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu anayekabiliwa na shtaka la uhujumu uchumi akidaiwa kuisababishia serikali hasara kubwa.
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
on Monday, May 7, 2012