Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Wamachinga Ubungo wahamia Upande wa Pili wa Daraja Kuelekea Riverside

Kabla yakuvuka Daraja unakutana na viatu hapo chaguo ni lako Wewe unapenda kipi hapo ?
Hapo ni Ubungo baada ya Machinga kufukuzwa sasa wamehamia upande wa kulekea Riverside Barabara ya Mandela .
Ni Juu ya daraja unapata chungwa au kipande cha tikiti unapita zako hiyo ni Ubungo Barabara ya Mandela darajani ukielekea Riverside.
Daraja hilo limeshageuzwa kijiwe kama walivyokutwa hapo na kamera yetu wafanyabiashara hao wakipiga stori huku wakiendelea na kazi
Hapo darajani kazi zikiendelea bila wasiwasi hapo wanadai Mgambo hawafiki hivyo ni eneo huru kwao kufanya biashara muda wowote hayo ni madai ya Wafanyabiashara hao.
Biashara hapo ni za kila aina kama uonavyo Wauza dawa za kienyeji jamii ya kimasai wakiendelea na shughuli kama kawaida hapo wakitoa maelezo ya dawa kwa wateja waliokutwa hapo japo majina yao hayakufahamika mara moja.
Hapo ni pembeni ya Kituo cha Daladala kuelekea Buguruni kilichopo pembeni ya Barabara ya Mandela baada ya Kuvuka daraja pakiwa na wafanyabiashara ambao mwanzoni walikuwa pembeni ya SONGAS Plant.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top