
Baadhi ya Waandamanaji wakikatiza mitaa huko Arusha.

Ni mmoja wa waandamanaji Josephine ambae ni mke wa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr.W.Slaa akiwa anavuja damu baada ya Jeshi la Polisi kuvunja maandamano leo Jiji Arusha
Picha kwa hisani ya Mithupu blog na Khalifan Said Blog.