Hii ni sehemu ya nne na ya mwisho katika mfululizo wa mahojiano na Mhe. Zitto Kabwe.
Katika sehemu hii, anaeleza kwanini anaamini kuwa TANZANIA NI NCHI TAJIRI SANA?
1: Anauonaje MUSTAKABALI WA TANZANIA hasa katika nyanja ya mafuta na gesi?
Je! Tanzania ina gesi kiasi gani? Ni mikataba gani iliyosainiwa na hiyo ina tofauti gani na ile ya zamani? Ni nini serikali inapanga kufanya na pesa za madini?
2: Suala la mipango miji kwa maeneo yanayokua
3: Tatizo la usafiri na miundombinu kwenye miji kama Dar-Es-Salaam
4: Tatizo katika mfumo wa Magereza na haki za wafungwa.
5: NI KIPI AMBACHO CHADEMA WANAJIVUNIA KAMA MATOKEO YA HARAKATI ZAO NCHINI?
UNGANA NASI
Kwa HISANI Kubwa ya Mubelwa Bandio
Loading...
Post a Comment
CodeNirvana