Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Daladala Time:Leo tuko na Kondakta kama kawaida Swagazzz !!

Hapo gari limeondoka Konda hajampa pesa mpiga debe ikabidi tejaa adai chake kama hivyo uonavyo kampandia konda nae bila hiyana ikabidi ampe gawio lake

Kondakta wetu huyo leo ambae anahudumu daladala ya Mwenge-Kariakoo Japo suti yake ni safi tofauti na wengi wao ambao ni wachafu lakini bado uvaaji wao ni wa mashaka kama uonavyo huwa hawalipendi vazi hilo japo ni Lazima wavae unifomu wao wanakuja na swagazz zao .
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top