
Hapo gari limeondoka Konda hajampa pesa mpiga debe ikabidi tejaa adai chake kama hivyo uonavyo kampandia konda nae bila hiyana ikabidi ampe gawio lake


Kondakta wetu huyo leo ambae anahudumu daladala ya Mwenge-Kariakoo Japo suti yake ni safi tofauti na wengi wao ambao ni wachafu lakini bado uvaaji wao ni wa mashaka kama uonavyo huwa hawalipendi vazi hilo japo ni Lazima wavae unifomu wao wanakuja na swagazz zao .
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Daladala
on Monday, June 18, 2012