Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd Afungua Kambi Rasmi Ya Timu ya Soka ya Mkoa wa Kaskazini Unguja

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Wana soka wa Mkoa wa Kaskazini Unguja chini ya umri wa miaka 17 katika hafla ya kuifunga rasmi kambi yao hapo katika Jengo la kituo cha Huduma rafiki Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja. Timu hiyo inatarajia kuwa miongoni mwa wana michezo watakaoshiriki kwenye mashindano ya Copa Coca Cola yatakayoanza Jijini Dara es salaa Mwishoni mwa Wiki hii.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top