Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Kutoka Facebook:Nape ana Neno kwa Waheshimiwa Wabunge


HIVI KWANINI WABUNGE WETU WANALALAMIKA JUU YA BAJETI BADALA YA KUTIMIZA WAJIBU WAO?! WANAMLALAMIKIA NANI? Kimsingi bajeti inapopelekwa Bungeni na serikali inakwenda kwa ajili ya mjadala na marekebisho palipo na mapungufu NA SI KUPITISHWA KAMA WAJIBU TU, tunategemea mjadala wenye lengo la kiboresha kwa faida ya wananchi. Sasa haya malalamiko ya baadhi ya wabunge barabarani, mara " niko tayari kufukuzwa"!! Nani anamfukuza nani?! Nani anayetishia uhuru, haki na wajibu wa kikatiba wa wabunge wetu mpaka wanalalamika barabarani?!! Nashauri wabunge timizeni wajibu wenu, jadilini na kuishauri serikali ndani ya bunge juu ya maboresho ya bajeti iliyoletwa kwenu!
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright 2025 Udaku Kijiweni | Designed By Code Nirvana
Back To Top