Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Neno La Leo kutoka kwa Mbunge wa Iringa Mjini


changamoto kubwa katika maisha ni kujua nini cha kufanya, tunaamka kila siku asubuhi kwa ajili ya shughuli za kila siku, je huwa tunafanya yale tuliyopaswa kufanya?kila siku tunajikuta tunapaswa kuamua kipi cha kufanya .with all the options and choices that lie before us every day. Hilo ni swali gumu. Je? Unajua nini cha kufanya na maisha yako? Kitu gani kinakusukuma kutoka kitandani kila asubuhi? Tafakari,.jiulize .have a great day.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top