
changamoto kubwa katika maisha ni kujua nini cha kufanya, tunaamka kila siku asubuhi kwa ajili ya shughuli za kila siku, je huwa tunafanya yale tuliyopaswa kufanya?kila siku tunajikuta tunapaswa kuamua kipi cha kufanya .with all the options and choices that lie before us every day. Hilo ni swali gumu. Je? Unajua nini cha kufanya na maisha yako? Kitu gani kinakusukuma kutoka kitandani kila asubuhi? Tafakari,.jiulize .have a great day.