Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

TURUDI KWENYE MAMBO YA MSINGI


Nilisikitika sana kuona Rais mstaafu JK akiagiza Magari zaidi ya 700 kwa ajili ya Polisi.

Kinachonisikitisha na kunishangaza ni kwamba je tulikuwa na haja ya kuagiza magari mengi namna hiyo?

Turudi kwenye uhalisia wa mambo ya msingi.

Ukienda kwenye Hospitali za Serikali, Hakuna madawa, Mashine za CT scan zimeharibika wakati huo huo wagonjwa wakilala chini kwa kukosa vitanda.

Wanafunzi wa vyuo vikuu wanakosa mikopo na kukosa haki za kupata elimu.

Sasa nauliza je kulikuwa na umuhimu gani wa kuagiza magari kama hayo wakati kuna mambo mengi yanaharibika kwa fedha kukosekana?.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top