Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

SHILOLE AKANA KUSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA NJE YA NCHI LAKINI AKIRI KUSHAWISHIWA

Shilole amekanusha kujihusisha na kusafirisha madawa ya kulevya katika safari zake za nje lakini amekiri kuwahi kushawishiwa kufanya hivyo.

Muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV kuwa alikataa mtego huo kwakuwa hakupenda kuhatarisha maisha yake.

“Kiukweli ushawishi upo niache kusema uongo lakini kwa sababu binafsi na akili zangu timamu na najua nini nafanya basi huwa naweka tamaa pembeni na kuangalia kitu ambacho kina mwendelezo na maisha yangu,” alisema.

“Nikiwaangalia watu halafu nikiangalia mpenzi wangu ninavyompenda nimwache hivi hivi, roho inauma pamoja na watoto wangu, nawapenda sana. Halafu wananipa matumaini kwa sababu wana akili sana shuleni,”
alisisitiza.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top