

Picha 1.Wauaji wakiserebuka baada ya kipenga cha mwisho kupulizwa kushoto ni muaji wa goli la pili Asamoah Gyan na mfungaji wa goli la kwanza Kevin-Prince Boateng.Picha 2. Gyan na mwenzake wakiendeleza libeneke la kufurahia ushindi wao dhidi ya Marekani ushindi mtamu sana.Picha 3.Jamaa akiwa tayari kwa ajili ya kuishangilia Black Stars fullly shangwe.
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
on Monday, June 28, 2010