Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

World cup 2010



Pamoja na kuwa na mchezaji wa 'ziada' vuvuzela jana Sauz walionekana kana kwamba wamekuja kukamilisha ratiba hatukuona yale makeke yao ya mechi ya ufunguzi na Mexico kiasi kwamba wakakubali kipigo cha 3-0 toka kwa Uruguay.Tuzidi kuziombea timu zetu za Afrika japo ziweze kufika mbali zaidi katika mashindano haya ya Kombe la Dunia.

Taswira kwa hisani ya :http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/world_cup_2010/
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright 2025 Udaku Kijiweni | Designed By Code Nirvana
Back To Top