Featured

    Featured Posts

    Social Icons

    .
Loading...

Mh.John Mnyika atolewa nje ya Bunge baada ya kukataa kufuta Kauli Yake



Tupo hapa tulipofikia
kutokana na Udhaifu wa Raisi,Bunge
legelege na Upuuzi wa CCM - John John Mnyika
Baada ya Kauli hiyo Naibu Spika Ndugai akamtaka afute kauli yake nae akasimamia kauli yake kwa kukataa kuifuta hivyo Naibu Spika kuamua kumtoa nje ya ukumbi wa Bunge kwa mujibu wa kanuni ya 73 a na bndizo zilizotumika.

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Udaku Kijiweni
Back To Top